Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:53 - Swahili Revised Union Version

Basi tangu siku ile walifanya shauri la kumwua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi tangu siku ile walifanya shauri la kumwua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:53
22 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwona akiwa mbali, na kabla hajawakaribia, wakafanya shauri juu yake ili wamwue.


Ndipo nikawashuhudia, nikawaambia, Mbona mnalala nje ya mji? Mkitenda hivi tena, nitawakamata. Tangu wakati ule hawakuja tena siku ya sabato.


Ikawa tokea wakati huo, nusu ya watumishi wangu walitumika katika kazi hiyo, na nusu yao wakaishika mikuki, na ngao, na pinde, na darii; na viongozi walikuwa nyuma ya nyumba yote ya Yuda.


Jina la BWANA lihimidiwe Tangu leo na hata milele.


Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake,


Maana nimesikia wengi wakinong'onezana; Hofu katika pande zote. Waliposhauriana juu yangu, Walipanga kunitoa uhai wangu.


Kwa maana adui zangu wananiamba, Nao wanaotaka kuniua hushauriana.


Basi Yeremia akamwambia Sedekia, Kama nikikufunulia neno hilo, je! Hutaniua wewe? Tena, mimi nikikupa ushauri wewe hutanisikiliza.


Ndipo wakuu wakamwambia mfalme, Twakuomba, mtu huyu auawe, kwa kuwa aidhoofisha mikono ya watu wa vita, waliobaki katika mji huu, na mikono ya watu wote, kwa kuwaambia maneno kama hayo; maana mtu huyu hawatafutii watu hawa heri, bali shari.


Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.


Basi wakuu wa makuhani na baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo juu ya Yesu, wapate kumwua;


Baada ya siku mbili ilikuwa sikukuu ya Pasaka, na mikate isiyochachwa; wakuu wa makuhani na waandishi wakatafuta njia ya kumkamata kwa hila na kumwua.


Mara wakatoka wale Mafarisayo, wakawa wakifanya shauri juu yake pamoja na Maherodi, jinsi ya kumwangamiza.


Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakakusanya baraza, wakasema, Tunafanya nini? Maana mtu huyu afanya ishara nyingi.


Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumwua Lazaro naye;


Na baada ya hayo Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya; maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitaka kumwua.


Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakapanga kuwaua.


Hata siku nyingi zilipopita, Wayahudi wakafanya shauri ili wamwue;