Mathayo 12:14 - Swahili Revised Union Version14 Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje na kupanga njama ya kumuua Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Isa jinsi watakavyoweza kumuua. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza. Tazama sura |