Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:13 - Swahili Revised Union Version

13 Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaunyosha, ukapona, ukawa mzima kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaunyosha, ukapona, ukawa mzima kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

vipofu wanapata kuona, viwete wanakwenda, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari Njema.


Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.


Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu.


Ikawa babake Publio alikuwa akiugua homa na kuhara damu. Paulo akaingia kwake, akaomba, akaweka mikono yake juu yake, na kumponya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo