Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:12 - Swahili Revised Union Version

12 Je! Mtu ni bora kuliko kondoo mara ngapi? Basi ni halali kutenda mema siku ya sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Lakini, mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Lakini, mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Lakini, mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Je! Mtu ni bora kuliko kondoo mara ngapi? Basi ni halali kutenda mema siku ya sabato.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Msiogope basi; bora ninyi kuliko mashomoro wengi.


Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kuliko hao?


Akawauliza, Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya? Kuponya roho au kuiua? Wakanyamaza.


Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, lakini Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!


Ikawa alipoingia ndani ya nyumba ya mtu mmoja miongoni mwa wakuu wa Mafarisayo siku ya sabato, ale chakula, walikuwa wakimvizia.


Ndipo Yesu akawaambia, Nawauliza ninyi, Je! Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya; kuponya roho au kuangamiza?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo