Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 4:16 - Swahili Revised Union Version

Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kote kwa namna hii ni uovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni uovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 4:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari? Wema wa Mungu upo sikuzote.


Kumbe! Huyu ndiye mtu yule, Asiyemfanya Mungu kuwa kimbilio lake. Aliutumainia wingi wa mali zake, Na kufanya mali kimbilio lake.


Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo.


Usijisifu kwa ajili ya kesho; Kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja.


Maana umeutumainia ubaya wako; umesema, Hapana anionaye; hekima yako, na maarifa yako yamekupotosha, nawe umesema moyoni mwako, Mimi ndiye, wala hapana mwingine zaidi yangu mimi.


Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?


Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo juu ya kweli.


Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.


Kwa kadiri alivyojitukuza na kufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri iyo hiyo. Kwa kuwa husema moyoni mwake, Nimeketi malkia, wala si mjane, wala sitaona huzuni kamwe.