Yakobo 4:16 - Swahili Revised Union Version16 Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kote kwa namna hii ni uovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kama ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni uovu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya. Tazama sura |