Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 4:17 - Swahili Revised Union Version

17 Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.

Tazama sura Nakili




Yakobo 4:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.


Kama nisingalikuja na kusema nao, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa hawana kisingizio kwa dhambi yao.


Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini kwa kuwa sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.


Basi je! Ile iliyo njema ilikuwa mauti kwangu mimi? La hasha! Bali dhambi, ili ionekane kuwa ni dhambi hasa, ilifanya mauti ndani yangu kwa njia ya ile njema, kusudi kwa ile amri dhambi izidi kuwa mbaya mno.


Maana ingekuwa heri kwao kama wasingaliijua njia ya haki, kuliko kuijua, kisha kuiacha ile amri takatifu waliyopewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo