Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 4:15 - Swahili Revised Union Version

15 Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.

Tazama sura Nakili




Yakobo 4:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mna hila nyingi moyoni mwa mtu; Lakini shauri la BWANA ndilo litakalosimama.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


bali aliagana nao, akisema, Nitarejea kwenu tena, Mungu akinijalia. Akatweka, akatoka Efeso,


siku zote katika sala zangu, nikiomba nije kwenu hivi karibu, Mungu akipenda kuifanikisha safari yangu.


nipate kufika kwenu kwa furaha, kama apendavyo Mungu, nikapate kupumzika pamoja nanyi.


Maana sipendi kuonana nanyi sasa, katika kupita tu, kwa sababu natarajia kukaa kwenu muda kidogo, Bwana akinijalia.


Lakini nitakuja kwenu upesi, nikijaliwa, nami nitafahamu, si neno lao tu wajivunao, bali nguvu zao.


Na hayo tutafanya Mungu akitujalia.


Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo