Yakobo 4:15 - Swahili Revised Union Version15 Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Mwenyezi Mungu akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi. Tazama sura |