Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 4:14 - Swahili Revised Union Version

14 lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Nyinyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Nyinyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Nyinyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Nyinyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Nyinyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Nyinyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini hamjui hata litakalotukia kesho. Maisha yenu ni nini? Ninyi ni ukungu ambao huonekana kwa kitambo kidogo kisha hutoweka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini hamjui hata litakalotukia kesho. Maisha yenu ni nini? Ninyi ni ukungu ambao huonekana kwa kitambo kidogo kisha hutoweka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.

Tazama sura Nakili




Yakobo 4:14
17 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Barzilai akamjibu mfalme, Nina miaka mingapi ya kuishi, hata mimi nipande pamoja na mfalme kwenda Yerusalemu?


Maana siku zangu zinatoweka kama moshi, Na mifupa yangu inateketea kama kinga.


Binadamu ni kama ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.


Tazama, umefanya siku zangu kuwa mashubiri; Maisha yangu ni kama si kitu mbele zako. Kila mwanadamu, ingawa amesitawi, ni ubatili.


Akakumbuka ya kuwa wao ni kiwiliwili, Upepo upitao wala haurudi.


Ukumbuke jinsi mimi nisivyo wa kudumu; Kwa ubatili gani umeiumba jamii ya wanadamu!


Usijisifu kwa ajili ya kesho; Kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja.


Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?


Makao yangu yameondolewa kabisa, yamechukuliwa kama hema ya mchungaji; Nimekunja maisha yangu kama mfumaji; atanikatilia mbali na kitanda cha mfumi; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


bali tajiri kwa kuwa ameshushwa; kwa maana atatoweka kama ua la majani.


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;


Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala.


Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo