Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 25:14 - Swahili Revised Union Version

14 Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo.

Tazama sura Nakili




Methali 25:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na Sedekia mwana wa Kenaana akajifanyia pembe za chuma, akasema, BWANA asema hivi, Kwa hizo utawasukuma Washami, hata waharibike.


Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?


na manabii watakuwa upepo, wala neno lake halimo ndani yao; basi ndivyo watakavyotendwa.


Mtu akienda kwa roho ya uongo, akinena maneno ya uongo, akisema, Nitakutabiria habari ya mvinyo na kileo; mtu huyu atakuwa nabii wao watu hawa.


Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.


Mungu, Baba wa Bwana Yesu, aliye mtukufu hata milele, anajua ya kuwa sisemi uongo.


Watu hawa ni wenye kunung'unika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo