Methali 25:14 - Swahili Revised Union Version14 Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kama vile mawingu na upepo bila mvua, ndivyo alivyo mtu anayejigamba kutoa zawadi asiitoe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye karama kwa uongo. Tazama sura |