Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 3:9 - Swahili Revised Union Version

BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Mwenyezi-Mungu akamwita huyo mwanamume, “Uko wapi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Mwenyezi-Mungu akamwita huyo mwanamume, “Uko wapi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Mwenyezi-Mungu akamwita huyo mwanamume, “Uko wapi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Bwana Mwenyezi Mungu akamwita Adamu, “Uko wapi?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini bwana Mwenyezi Mungu akamwita Adamu, “Uko wapi?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 3:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.


Akamwambia, Hajiri, wewe mjakazi wa Sarai, unatoka wapi, na unakwenda wapi? Akanena, Namkimbia bimkubwa wangu Sarai.


Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani.


BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, kwani mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?


Lakini yeye akaingia, akasimama mbele ya bwana wake. Elisha akamwambia, Watoka wapi, Gehazi? Akanena, Mtumwa wako hakuenda mahali.