Mwanzo 18:9 - Swahili Revised Union Version9 Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wale wageni wakamwuliza, “Mkeo Sara yuko wapi?” Abrahamu akawajibu, “Yumo hemani.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wale wageni wakamwuliza, “Mkeo Sara yuko wapi?” Abrahamu akawajibu, “Yumo hemani.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wale wageni wakamwuliza, “Mkeo Sara yuko wapi?” Abrahamu akawajibu, “Yumo hemani.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Wakamuuliza, “Yuko wapi Sara mkeo?” Akasema, “Yuko ndani ya hema.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wakamuuliza, “Yuko wapi Sara mkeo?” Akasema, “Yuko huko, ndani ya hema.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani. Tazama sura |