Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:8 - Swahili Revised Union Version

Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu akaliita anga “Mbingu.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya pili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu akaliita anga “Mbingu.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya pili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu akaliita anga “Mbingu.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya pili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu akaiita hiyo nafasi “anga”. Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya pili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenyezi Mungu akaiita hiyo nafasi “anga.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya pili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.


Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.


Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.


Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.


Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.


Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.


Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.


mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.


Yeye aliyeumba mbingu kwa fahamu zake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Ufunuo wa neno la BWANA juu ya Israeli. Haya ndiyo asemayo BWANA, azitandaye mbingu, auwekaye msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake.