Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 10:2 - Swahili Revised Union Version

Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kulia; Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Moyo wa mwenye hekima humwongoza kutenda yaliyo sawa; lakini mtu mpumbavu moyo wake humpotosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Moyo wa mwenye hekima humwongoza kutenda yaliyo sawa; lakini mtu mpumbavu moyo wake humpotosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Moyo wa mwenye hekima humwongoza kutenda yaliyo sawa; lakini mtu mpumbavu moyo wake humpotosha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kulia; Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 10:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Iwapo chuma hakipati, wala mtu hakinoi; Ndipo hana budi kutumia nguvu zaidi. Lakini yafaa kutumia hekima, na kufanikiwa.


Tena, upumbavu huongeza maneno; lakini mwanadamu hajui yatakayokuwako; nayo yatakayokuwa baada yake, ni nani awezaye kumweleza?


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


atawaweka kondoo katika mkono wake wa kulia, na mbuzi mkono wake wa kushoto.


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.


Basi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi katika mkono wa kulia wa Mungu.