Mhubiri 10:1 - Swahili Revised Union Version1 Nzi waliokufa hufanya manukato ya mwuza marashi kutoa uvundo; Kadhalika upumbavu haba ni mzito kuliko hekima na heshima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Nzi waliokufa husababisha marashi kunuka; upumbavu kidogo hubatilisha hekima na heshima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Nzi waliokufa husababisha marashi kunuka; upumbavu kidogo hubatilisha hekima na heshima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Nzi waliokufa husababisha marashi kunuka; upumbavu kidogo hubatilisha hekima na heshima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kama vile inzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Nzi waliokufa hufanya manukato ya mwuza marashi kutoa uvundo; Kadhalika upumbavu haba ni mzito kuliko hekima na heshima. Tazama sura |