Mhubiri 10:14 - Swahili Revised Union Version14 Tena, upumbavu huongeza maneno; lakini mwanadamu hajui yatakayokuwako; nayo yatakayokuwa baada yake, ni nani awezaye kumweleza? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Mpumbavu hububujika maneno. Binadamu hajui yatakayokuwako, wala yale yatakayotukia baada yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Mpumbavu hububujika maneno. Binadamu hajui yatakayokuwako, wala yale yatakayotukia baada yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Mpumbavu hububujika maneno. Binadamu hajui yatakayokuwako, wala yale yatakayotukia baada yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 naye mpumbavu huzidisha maneno. Hakuna yeyote ajuaye linalokuja, ni nani awezaye kueleza ni jambo gani litakalotokea baada yake? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 naye mpumbavu huzidisha maneno. Hakuna yeyote ajuaye linalokuja, ni nani awezaye kueleza ni jambo gani litakalotokea baada yake? Tazama sura |