Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 10:13 - Swahili Revised Union Version

13 Mwanzo wa maneno ya kinywa chake ni upuuzi; na mwisho wa usemi wake ni wazimu wenye hatari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mpumbavu huanza kusema kwa maneno ya kijinga, na kumaliza kauli yake kwa wazimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mpumbavu huanza kusema kwa maneno ya kijinga, na kumaliza kauli yake kwa wazimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mpumbavu huanza kusema kwa maneno ya kijinga, na kumaliza kauli yake kwa wazimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Mwanzoni maneno yake ni upumbavu, mwishoni ni wazimu mbaya,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Mwanzoni maneno yake ni upumbavu, mwishoni ni wazimu mbaya,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Mwanzo wa maneno ya kinywa chake ni upuuzi; na mwisho wa usemi wake ni wazimu wenye hatari.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 10:13
25 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, angalia, watu wote wa Israeli wakamjia mfalme wakamwambia mfalme, Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda wamekuiba, na kumvusha Yordani mfalme, na jamaa yake, na watu wote wa Daudi pamoja naye?


Akasema, BWANA asipokusaidia, nikusaidieje mimi? Ya uwanjani mwa kupuria, au ya shinikizoni?


Ndipo akasema, Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, kikimbakia kichwa Elisha mwana wa Shafati juu yake leo.


Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.


Tena, upumbavu huongeza maneno; lakini mwanadamu hajui yatakayokuwako; nayo yatakayokuwa baada yake, ni nani awezaye kumweleza?


Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.


Nikageuka, na moyo wangu ulikazwa katika kujua na kupeleleza, na kuitafuta hekima, na maana ya mambo yaliyoko; ili nifahamu ya kuwa uovu ni upumbavu, na upumbavu ni wazimu.


Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi.


Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, Mbona mnafanya lisilo halali siku ya sabato?


Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumwua Lazaro naye;


Ikawa kwa siku ya saba, wakamwambia mkewe Samsoni, Mbembeleze mumeo, ili atutegulie hicho kitendawili, tusije tukakuteketeza moto wewe na nyumba ya baba yako; je! Mmetuita ili mpate kuichukua mali yetu? Je! Sivyo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo