Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:26 - Swahili Revised Union Version

Maana amewaangusha wengi aliowajeruhi, Naam, jumla ya waliouawa naye ni wengi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana amewaangusha wanaume wengi; ni wengi mno hao aliowachinja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana amewaangusha wanaume wengi; ni wengi mno hao aliowachinja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana amewaangusha wanaume wengi; ni wengi mno hao aliowachinja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliowaangusha ni wengi; aliowachinja ni kundi kubwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliowaangusha ni wengi; aliowachinja ni kundi kubwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana amewaangusha wengi aliowajeruhi, Naam, jumla ya waliouawa naye ni wengi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:26
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abneri alipokuwa amerudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando hadi katikati ya lango, ili aseme naye kwa faragha; akampiga mkuki wa tumbo huko, hadi akafa; kwa ajili ya damu ya Asaheli, ndugu yake.


Je! Sulemani, mwana wa Daudi, hakufanya dhambi kwa kutenda hayo? Lakini katika mataifa mengi hapakuwa na mfalme mwingine mfano wake. Tena alipendwa na Mungu wake, naye Mungu akamfanya mfalme juu ya Israeli; lakini wanawake wageni walimkosesha hata yeye.


Maana nyumba yake inaelekea mauti, Na mapito yake yanakwenda kwenye wafu.


Naam, huotea kama mnyang'anyi; Huwaongeza wenye hila katika wanadamu.


Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.


Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka vyumba vya mauti.


Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.


Wala msifanye uasherati, kama wengine wao walivyofanya, wakaanguka siku moja watu elfu ishirini na tatu.


nami nitakapokuja tena, Mungu wangu asije akanidhili kwenu, nami nikawasikitikia wengi waliokosa tangu hapo, wasiutubie uchafu, na uasherati, na uovu walioufanya.


Wapenzi, nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho.


Wafilisti wakamkamata, wakamng'oa macho; wakateremka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.