1 Wakorintho 10:8 - Swahili Revised Union Version8 Wala msifanye uasherati, kama wengine wao walivyofanya, wakaanguka siku moja watu elfu ishirini na tatu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu elfu ishirini na tatu kwa siku moja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu 23,000 kwa siku moja. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Wala msifanye uasherati, kama wengine wao walivyofanya, wakaanguka siku moja watu elfu ishirini na tatu. Tazama sura |