Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 10:9 - Swahili Revised Union Version

9 Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wala tusimjaribu Al-Masihi, kama baadhi yao walivyofanya, wakafa kwa kuumwa na nyoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wala tusimjaribu Al-Masihi, kama baadhi yao walivyofanya, wakafa kwa kuumwa na nyoka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Bali walitamani sana nyikani, Wakamjaribu Mungu jangwani.


Wakamjaribu Mungu mioyoni mwao Kwa kutaka chakula kwa tamaa zao.


Lakini walimjaribu Mungu Aliye Juu, wakamwasi, Wala hawakuzishika shuhuda zake.


Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu.


Kwa hiyo hao watu wakamgombeza Musa, wakasema, Tupe maji tunywe. Musa akawaambia, Kwa nini mnanigombeza? Mbona mnamjaribu BWANA?


Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba kwa sababu ya ugomvi wa wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu BWANA, wakisema, Je! BWANA yu kati yetu au sivyo?


Msimjaribu BWANA, Mungu wenu, kama mlivyomjaribu huko Masa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo