Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 10:10 - Swahili Revised Union Version

10 Wala msinung'unike, kama wengine wao walivyonung'unika, wakauawa na mharibifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wala msinungunike kama baadhi yao walivyonungunika, wakaangamizwa na Mwangamizi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wala msinungunike kama baadhi yao walivyonungunika, wakaangamizwa na Mwangamizi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wala msinung'unike kama baadhi yao walivyonung'unika, wakaangamizwa na Mwangamizi!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Msinung’unike kama baadhi yao walivyofanya, wakaangamizwa na malaika mharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Msinung’unike kama baadhi yao walivyofanya, wakaangamizwa na mharabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Wala msinung'unike, kama wengine wao walivyonung'unika, wakauawa na mharabu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:10
23 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini huyo malaika aliponyosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili auharibu, BWANA akaghairi katika mabaya, akamwambia huyo malaika mwenye kuwaharibu watu, Yatosha, sasa ulegeze mkono wako. Naye yule malaika wa BWANA alikuwako karibu na kiwanja cha kupuria cha Arauna, Myebusi.


Naye Mungu akatuma malaika aende Yerusalemu ili auangamize; naye alipokuwa tayari kuangamiza, BWANA akatazama, akaghairi katika mabaya, akamwambia malaika aharibuye, Basi yatosha; sasa ulegeze mkono wako. Naye malaika wa BWANA akasimama karibu na kiwanja cha kupuria cha Arauna, Myebusi.


Naye BWANA akatuma malaika aliyewakatia mbali wapiganaji vita wote, na majemadari, na makamanda, kambini mwa mfalme wa Ashuru. Basi akarudia nchi yake kwa aibu. Naye alipoingia nyumbani mwa mungu wake, baadhi ya wanawe mwenyewe wakamwangamiza humo kwa upanga.


Bali wakanung'unika hemani mwao, Wala hawakuisikiliza sauti ya BWANA.


Kwa kuwa BWANA atapita ili awapige hao Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo miwili, BWANA atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mharibifu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi.


Ndipo watu wakamnung'unikia Musa, wakisema, Tunywe nini?


Kisha wana wa Israeli wote wakamnung'unikia Musa na Haruni; mkutano wote wakawaambia, Ingekuwa heri kama tungalikufa katika nchi ya Misri, au, ingekuwa heri kama tungalikufa katika jangwa hili.


watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Kwa sababu hii wewe na mkutano wako wote mmekusanyika kinyume cha BWANA; na Haruni, je! Yeye ni nani hata mkamnung'unikia?


Lakini siku ya pili yake mkutano wote wa wana wa Israeli wakamnung'unikia Musa, na Haruni, wakasema, Ninyi mmewaua watu wa BWANA.


Kisha BWANA akamwambia Musa, Irudishe fimbo ya Haruni mbele ya ushahidi, ili itunzwe iwe ishara juu ya hawa wana wa maasi; ili uyakomeshe manung'uniko yao waliyoninung'unikia, ili wasife.


Kisha itakuwa, mtu huyo nitakayemchagua, fimbo yake itachipuka nami nitayakomesha manung'uniko ya wana wa Israeli, wanung'unikiayo kwangu juu yenu.


Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na wadudu, akatokwa na roho.


Yatendeni mambo yote pasipo manung'uniko wala mashindano,


Kwa imani akaifanya Pasaka, na kule kunyunyiza damu, ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wao.


Watu hawa ni wenye kunung'unika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.


Nikasikia sauti kuu kutoka hekaluni, ikiwaambia wale malaika saba, Nendeni mkayamwage yale mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu juu ya nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo