Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 7:27 - Swahili Revised Union Version

27 Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka vyumba vya mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, ni mahali pa kuteremkia mautini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, ni mahali pa kuteremkia mautini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, ni mahali pa kuteremkia mautini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka vyumba vya mauti.

Tazama sura Nakili




Methali 7:27
8 Marejeleo ya Msalaba  

Miguu yake inateremkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;


Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,


Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.


Nami nimeona lililo na uchungu kupita mauti; yaani, mwanamke ambaye moyo wake ni mitego na tanzi, na mikono yake ni kama vifungo; yeye ampendezaye Mungu atamponyoka, bali mwenye dhambi atanaswa na yeye.


wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.


Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo