Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 8:1 - Swahili Revised Union Version

1 Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Sikilizeni! Hekima anaita! Busara anapaza sauti yake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Sikilizeni! Hekima anaita! Busara anapaza sauti yake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Sikilizeni! Hekima anaita! Busara anapaza sauti yake!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?

Tazama sura Nakili




Methali 8:1
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.


Tokea wakati huo Yesu alianza kuhubiri, na kusema, Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Na sharti Injili ihubiriwe kwanza katika mataifa yote.


na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.


Katika siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Naye akaniambia, Nenda zako; kwa kuwa mimi nitakutuma uende mbali kwa watu wa Mataifa.


bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wagiriki, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo