Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:1 - Swahili Revised Union Version

Mwanangu, yashike maneno yangu, Na kuziweka amri zangu akiba kwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanangu, yashike maneno yangu, zihifadhi kwako amri zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanangu, yashike maneno yangu, zihifadhi kwako amri zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanangu, yashike maneno yangu, zihifadhi kwako amri zangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanangu, shika maneno yangu na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanangu, shika maneno yangu na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanangu, yashike maneno yangu, Na kuziweka amri zangu akiba kwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Uyapokee, tafadhali, mafunzo yatokayo kinywani mwake, Na maneno yake yaweke moyoni mwako.


Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Zisiondoke machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako.


Miguu yake inateremkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;


Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.


Hatakubali fidia yoyote; Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.


Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.


Na zile penye udongo mzuri, ndio wale ambao kwa unyofu na wema wa mioyo yao hulisikia neno, na kulishika; kisha huzaa matunda kwa kuvumilia.


Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.


Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.


na laana ni hapo msipotii maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkapotoka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.


Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati uko karibu.


Naye akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako, na wa ndugu zako manabii, na wa wale wayashikao maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu.