Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:1 - Swahili Revised Union Version

1 Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwanangu, usiyasahau mafundisho yangu, bali kwa moyo wako uzishike amri zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwanangu, usiyasahau mafundisho yangu, bali kwa moyo wako uzishike amri zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwanangu, usiyasahau mafundisho yangu, bali kwa moyo wako uzishike amri zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwanangu, usisahau mafundisho yangu, bali zitunze amri zangu moyoni mwako,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Mwanangu, usisahau mafundisho yangu, bali zitunze amri zangu moyoni mwako,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.

Tazama sura Nakili




Methali 3:1
31 Marejeleo ya Msalaba  

Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Uyaangalie mateso yangu, uniokoe, Maana sikuisahau sheria yako.


Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.


Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Japo kamba za wasio haki zimenifunga, Siisahau sheria yako.


Hata milele sitayasahau maagizo yako, Maana kwa hayo umenihuisha.


Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonesha wokovu wangu.


nami nawarehemu maelfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.


Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;


Mwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu.


Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.


Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.


Zisiondoke machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako.


Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.


Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?


Hekima ameijenga nyumba yake, Amezichonga nguzo zake saba;


Amka, amka, simama, Ee Yerusalemu, Wewe uliyenywea mkononi mwa BWANA, Kikombe cha hasira yake; Ukalinywea na kumaliza bakuli la kulevyalevya Umelinywea na kulimaliza.


Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema BWANA; Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.


Jihadharini nafsi zenu, msije mkalisahau agano la BWANA, Mungu wenu, alilolifanya nanyi, mkajifanyia sanamu ya kuchonga, mfano wa umbo la kitu chochote ulichokatazwa na BWANA, Mungu wenu,


Lakini, jihadhari nafsi yako, ukailinde roho yako kwa bidii, usije ukayasahau mambo yale uliyoyaona kwa macho yako, yakaondoka moyoni mwako siku zote za maisha yako; bali uwajulishe watoto wako na watoto wa watoto wako;


Waheshimu baba yako na mama yako; kama BWANA, Mungu wako, alivyokuamuru, siku zako zipate kuzidi, nawe upate kufanikiwa katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Endeni njia yote aliyowaagiza BWANA, Mungu wenu, mpate kuwa hai, na kufanikiwa, mkafanye siku zenu kuwa nyingi katika nchi mtakayoimiliki.


Amri hii ninayokuamuru leo mtaizingatia, mpate kuishi na kuongezeka, na kuingia katika nchi ile ambayo BWANA aliwaapia baba zenu; nanyi mtaimiliki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo