Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 11:28 - Swahili Revised Union Version

28 Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.

Tazama sura Nakili




Luka 11:28
16 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.


Akawajibu akasema, Mama yangu na ndugu zangu ni hao walisikiao neno la Mungu na kulifanya.


Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.


Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati uko karibu.


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo