Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:8 - Swahili Revised Union Version

Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.


Tena yatakuwapo maziwa ya mbuzi, Ya kukutosha kwa chakula chako, Na chakula cha watu wa nyumbani mwako, Na posho la vijakazi vyako.


Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa joto.


Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?


huku wakijiwekea akiba iwe msingi mzuri kwa wakati ujao, ili wapate uzima ulio kweli kweli.