Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:1 - Swahili Revised Union Version

Mwanangu, sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, uzisikie akili zangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikilize elimu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikilize elimu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikilize elimu yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu, sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu, sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanangu, sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, uzisikie akili zangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;


Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;


Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.


Mwanangu, sikiliza maneno yangu; Tega sikio lako, uzisikie kauli zangu.


Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.


Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,


wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Abrahamu watoto.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.