Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 7:7 - Swahili Revised Union Version

7 Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 nikawaona vijana wengi wajinga, na mmoja hasa aliyekuwa mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 nikawaona vijana wengi wajinga, na mmoja hasa aliyekuwa mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 nikawaona vijana wengi wajinga, na mmoja hasa aliyekuwa mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Niliona miongoni mwa wajinga, nikagundua miongoni mwa wanaume vijana, kijana asiye na akili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Niliona miongoni mwa wajinga, nikagundua miongoni mwa wanaume vijana, kijana asiye na akili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,

Tazama sura Nakili




Methali 7:7
24 Marejeleo ya Msalaba  

Tena jicho lake mzinifu hungojea wakati wa gizagiza, Akisema, Hapana jicho litakaloniona; Naye huuficha uso wake.


Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.


Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo.


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari;


Hekima hupatikana midomoni mwa mwenye ufahamu; Bali fimbo hufaa kwa mgongo wake asiye na ufahamu.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


Mjinga huamini kila neno; Bali mwenye busara huangalia sana aendavyo.


Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa.


Tena si vizuri nafsi ya mtu ikose maarifa; Naye afanyaye haraka kwa miguu hutenda dhambi.


Mpige mwenye mzaha, na mjinga atapata busara; Mwonye mwenye ufahamu, naye atatambua maarifa.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Nilipita karibu na shamba la mvivu, Na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Mwanangu, sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, uzisikie akili zangu;


Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.


Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,


Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,


Kwa maana watu wangu ni wapumbavu, hawanijui; ni watoto waliopungukiwa na akili, wala hawana ufahamu; ni wenye akili katika kutenda mabaya, bali katika kutenda mema hawana maarifa.


Yesu akasema, Hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo