Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 7:8 - Swahili Revised Union Version

8 Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake, akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake, akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,

Tazama sura Nakili




Methali 7:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.


Mara yuko katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.


Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka vyumba vya mauti.


Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.


Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.


na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto; na wengine wahurumieni kwa hofu, mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili.


Samsoni akaenda Gaza, akaona huko mwanamke kahaba, akaingia kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo