Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 5:1 - Swahili Revised Union Version

1 Mwanangu, sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, uzisikie akili zangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwanangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikilize elimu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwanangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikilize elimu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwanangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikilize elimu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu, sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu, sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Mwanangu, sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, uzisikie akili zangu;

Tazama sura Nakili




Methali 5:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;


Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;


Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.


Mwanangu, sikiliza maneno yangu; Tega sikio lako, uzisikie kauli zangu.


Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.


Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,


wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Abrahamu watoto.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo