Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:5 - Swahili Revised Union Version

Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usisahau wala kupuuza maneno yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usisahau wala kupuuza maneno yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usisahau wala kupuuza maneno yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pata hekima, pata ufahamu; usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pata hekima, pata ufahamu; usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, akaziendea njia za Daudi babaye, asigeuke kwa kulia wala kwa kushoto.


Mguu wangu umeshikamana sana na hatua zake; Njia yake nimeishika, wala sikukengeuka.


Wanaonifuatia na watesi wangu ni wengi, Lakini mimi sikiuki shuhuda zako.


Wenye kiburi wamenidharau mno, Lakini sikiuki sheria zako.


Hatukuiacha mioyo yetu irudi nyuma, Wala hatua zetu hazikuiacha njia yako,


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.


Apataye hekima hujipenda nafsi yake; Ashikaye ufahamu atapata mema.


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.