Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:11 - Swahili Revised Union Version

Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia nyofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia nyofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia nyofu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninakuongoza katika njia ya hekima na kukuongoza katika mapito ya unyoofu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninakuongoza katika njia ya hekima na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


Ili upate kwenda katika njia ya watu wema, Na kuyashika mapito ya wenye haki.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Sikilizeni, maana nitasema yaliyo mazuri, Na kufumbua midomo yangu kutakuwa maadili.


Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.


Lakini, kwa sababu huyo Mhubiri alikuwa na hekima, aliendelea kuwafundisha watu maarifa, naam, akatafakari, akachunguza, akatunga mithali nyingi.


akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka?


Angalieni nimewafundisha amri na hukumu, vile vile kama BWANA, Mungu wangu, alivyoniamuru, ili mzitende katika nchi mwingiayo ili kuimiliki.