Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:1 - Swahili Revised Union Version

Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanangu, sikilizeni mwongozo wa baba yenu, tegeni sikio mpate kuwa na akili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanangu, sikilizeni mwongozo wa baba yenu, tegeni sikio mpate kuwa na akili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanangu, sikilizeni mwongozo wa baba yenu, tegeni sikio mpate kuwa na akili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba; sikilizeni kwa makini na mpate ufahamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba yenu; sikilizeni kwa makini na mpate ufahamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kusanyikeni, msikie, enyi wana wa Yakobo, Msikilizeni Israeli, baba yenu.


Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;


Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,


Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.


Sikiliza mashauri, ukapokee mafundisho, Upate kuwa na hekima siku zako za mwisho.


Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;


Mwanangu, sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, uzisikie akili zangu;


Mwambie hekima, Wewe ndiwe dada yangu; Mwite ufahamu jamaa yako mwandani.


Nasi tumeitii sauti ya Yonadabu, mwana wa Rekabu, baba yetu, katika yote aliyotuamuru, kwamba tusinywe divai siku zetu zote, sisi, na wake zetu, na wana wetu, na binti zetu;


Kwa hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi hayo tuliyoyasikia tusije tukayakosa.