Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:22 - Swahili Revised Union Version

Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

navyo vitakuwa uhai nafsini mwako, na pambo zuri shingoni mwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

navyo vitakuwa uhai nafsini mwako, na pambo zuri shingoni mwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

navyo vitakuwa uhai nafsini mwako, na pambo zuri shingoni mwako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako na pambo la neema shingoni mwako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako na pambo la neema shingoni mwako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako, Na mikufu shingoni mwako.


Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake aliye nao; Bali kufundishwa kwa wapumbavu ni upuzi wao.


Apataye hekima hujipenda nafsi yake; Ashikaye ufahamu atapata mema.


Aandamaye haki na fadhili, Ataona uhai na haki na heshima.


Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.


Maana ni uhai kwa wale wazipatao, Na afya ya mwili wao wote.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Ee Bwana, kwa mambo hayo watu huishi; Na uhai wa roho yangu u katika hayo yote; Kwa hiyo uniponye na kunihuisha.


Kwa maana si jambo lisilofaa kwenu; maana, ni maisha yenu, na kwa jambo hili mtazifanya siku zenu kuwa nyingi juu ya nchi mwivukiayo Yordani kuimiliki.