Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:22 - Swahili Revised Union Version

22 Maana ni uhai kwa wale wazipatao, Na afya ya mwili wao wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Maana hayo ni uhai kwa mtu anayeyapata, ni dawa kwa mwili wake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Maana hayo ni uhai kwa mtu anayeyapata, ni dawa kwa mwili wake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Maana hayo ni uhai kwa mtu anayeyapata, ni dawa kwa mwili wake wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Maana ni uhai kwa wale wazipatao, Na afya ya mwili wao wote.

Tazama sura Nakili




Methali 4:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.


Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.


Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu; Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo