Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:13 - Swahili Revised Union Version

Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri mtu anayegundua hekima, mtu yule anayepata ufahamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri mtu anayegundua hekima, mtu yule anayepata ufahamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri mtu anayegundua hekima, mtu yule anayepata ufahamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Heri mtu yule apataye hekima, mtu yule apataye ufahamu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Heri mtu yule aonaye hekima, mtu yule apataye ufahamu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Haipatikani kwa dhahabu, Wala fedha haitapimwa iwe thamani yake.


Havitatajwa fedhaluka wala bilauri; Naam, kima cha hekima chapita marijani.


Yakuti ya rangi ya manjano ya Kushi haitasawazishwa nayo, Wala haitatiwa kima kwa dhahabu safi.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.


Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;


Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.


Wala si ng'ambo ya pili ya bahari, hata useme, Ni nani atakayetuvukia bahari, akatuletee, aje atuambie, tusikie, tupate kuyafanya?