Methali 3:14 - Swahili Revised Union Version14 Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Hekima ni bora kuliko fedha, ina faida kuliko dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Hekima ni bora kuliko fedha, ina faida kuliko dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Hekima ni bora kuliko fedha, ina faida kuliko dhahabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi. Tazama sura |