Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:12 - Swahili Revised Union Version

Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtawala akisikiliza mambo ya uongo, maofisa wake wote watakuwa waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtawala akisikiliza mambo ya uongo, maofisa wake wote watakuwa waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtawala akisikiliza mambo ya uongo, maofisa wake wote watakuwa waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa bwana wake aliposikia maneno aliyoambia na mkewe, akisema, Mtumwa wako amenitendea mambo kama haya, hasira yake ikawaka.


akawajibu kama vile walivyomshauri vijana, akasema, Baba yangu alilifanya zito kongwa lenu, bali mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, bali mimi nitawapigeni kwa nge.


Walakini hawakusikia; naye Manase akawakosesha wafanye mabaya, kuliko mataifa BWANA aliowaharibu mbele za wana wa Israeli.


Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.


Upepo wa kusi huleta mvua; Vile vile asingiziaye huleta uso wa ghadhabu.


Lakini yeye, wala watumishi wake, wala watu wa nchi, hawakuyasikiliza maneno ya BWANA aliyonena kwa kinywa cha nabii Yeremia.


Naye Sauli akawaagiza watumishi wake, Zungumzeni na Daudi kwa siri, na kusema, Angalia, mfalme anakuridhia, na watumishi wake wote wanakupenda; haya basi! Na uwe mkwewe mfalme.