Methali 20:8 - Swahili Revised Union Version8 Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mfalme anapoketi kwenye kiti chake cha ufalme kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake. Tazama sura |