Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:8 - Swahili Revised Union Version

8 Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mfalme anapoketi kwenye kiti chake cha ufalme kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.

Tazama sura Nakili




Methali 20:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Atakuwa kama nuru ya asubuhi jua lichapo, Asubuhi isiyo na mawingu. Likichipuza mimea ardhini, Kwa mwangaza baada ya mvua;


Akaifanya baraza ya kiti cha enzi, ili ahukumu ndani yake, ndiyo baraza ya hukumu; nayo ikafunikwa mwerezi tangu sakafu mpaka dari.


Na atawatetea watu walioonewa, Awaokoe wahitaji, na kumwaangamiza mdhalimu.


Maana hao adui zako, Ee BWANA, Hao adui zako watapotea, Na watendao maovu watatawanyika wote pia.


Mfalme mkuu upendaye hukumu kwa haki; Umeiimarisha haki; Umefanya hukumu na haki katika Israeli.


Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.


Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.


Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.


Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.


Tazama, mfalme atamiliki kwa haki, na wakuu watatawala kwa hukumu.


Mtu asiye pamoja nami yu kinyume changu; na mtu asiyekusanya pamoja nami hutapanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo