Methali 20:9 - Swahili Revised Union Version9 Nani awezaye kusema, Nimesafisha moyo wangu; Nimetakasika dhambi yangu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Nani athubutuye kusema: “Nimeutakasa moyo wangu; mimi nimetakasika dhambi yangu?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Nani athubutuye kusema: “Nimeutakasa moyo wangu; mimi nimetakasika dhambi yangu?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Nani athubutuye kusema: “Nimeutakasa moyo wangu; mimi nimetakasika dhambi yangu?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Nani awezaye kusema, Nimesafisha moyo wangu; Nimetakasika dhambi yangu? Tazama sura |