Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:11 - Swahili Revised Union Version

Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpumbavu huonesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpumbavu huonesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.


Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.


Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.