Amosi 5:13 - Swahili Revised Union Version13 Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Basi, kutakuwa na wakati mbaya ambao hata mwenye busara atanyamaza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Basi, kutakuwa na wakati mbaya ambao hata mwenye busara atanyamaza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Basi, kutakuwa na wakati mbaya ambao hata mwenye busara atanyamaza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza nyakati kama hizo, kwa kuwa nyakati ni mbaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza kimya nyakati kama hizo, kwa kuwa nyakati ni mbaya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya. Tazama sura |