Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:23 - Swahili Revised Union Version

Midomo ijipendekezayo pamoja na moyo mbaya Ni kama kigae kilichofunikizwa taka za fedha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama rangi angavu iliyopakwa kigae, ndivyo yalivyo maneno matamu yenye nia mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama rangi angavu iliyopakwa kigae, ndivyo yalivyo maneno matamu yenye nia mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama rangi angavu iliyopakwa kigae, ndivyo yalivyo maneno matamu yenye nia mbaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama rangi ing’aayo iliyopakwa kwenye vyombo vya udongo ndivyo ilivyo midomo laini pamoja na moyo mbaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama rangi ing’aayo iliyopakwa kwenye vyombo vya udongo ndivyo ilivyo midomo laini pamoja na moyo mbaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Midomo ijipendekezayo pamoja na moyo mbaya Ni kama kigae kilichofunikizwa taka za fedha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:23
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu.


Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.


Ondoa takataka katika fedha, Na chombo kitatokea kwa mtakasaji;


Anenapo maneno mazuri usimsadiki; Kwa maana ana machukizo saba moyoni mwake.


Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.


Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.


Ole wenu, Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote.


Bwana akamwambia, Ninyi Mafarisayo mwasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani yenu mmejaa unyang'anyi na uovu.