Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:25 - Swahili Revised Union Version

25 Anenapo maneno mazuri usimsadiki; Kwa maana ana machukizo saba moyoni mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Akiongea vizuri usimwamini, moyoni mwake mna chuki chungu nzima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Akiongea vizuri usimwamini, moyoni mwake mna chuki chungu nzima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Akiongea vizuri usimwamini, moyoni mwake mna chuki chungu nzima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini, kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini, kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Anenapo maneno mazuri usimsadiki; Kwa maana ana machukizo saba moyoni mwake.

Tazama sura Nakili




Methali 26:25
11 Marejeleo ya Msalaba  

Sanbalati na Geshemu wakatuma wajumbe kwangu, wakasema, Njoo, tukutane huko vijijini katika nchi tambarare ya Ono. Lakini wakakusudia kunifanyia mabaya.


Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Usinikokote pamoja na wasio haki, Wala pamoja na watenda maovu. Wawaambiao jirani zao maneno ya amani, Lakini mioyoni mwao mna madhara.


Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.


Midomo ijipendekezayo pamoja na moyo mbaya Ni kama kigae kilichofunikizwa taka za fedha.


Kwa maana hata ndugu zako, na nyumba ya baba yako, wamekutenda mambo ya hila; naam, wamepiga kelele nyuma yako; usiwasadiki, wajapokuambia maneno mazuri.


Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.


Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki.


Kisha Sauli akamwambia Daudi, Tazama, binti yangu mkubwa, Merabu, huyu nitakupa wewe ili umwoe; ila na wewe uniwie hodari wa vita, na kuvipiga vita vya BWANA. Maana Sauli alisema moyoni mwake, Mkono wangu usiwe juu yake, bali mkono wa Wafilisti na uwe juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo