Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:26 - Swahili Revised Union Version

26 Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Huenda akaficha chuki yake, lakini nia zake mbaya zitajulikana kwa wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Huenda akaficha chuki yake, lakini nia zake mbaya zitajulikana kwa wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Huenda akaficha chuki yake, lakini nia zake mbaya zitajulikana kwa wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Nia yake ya kudhuru wengine inaweza kufichwa na udanganyifu, lakini uovu wake utafichuliwa kwenye kusanyiko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Nia yake ya kudhuru wengine inaweza kufichwa na udanganyifu, lakini uovu wake utafichuliwa kwenye kusanyiko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.

Tazama sura Nakili




Methali 26:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua.


Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.


Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.


Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.


Kisha Sauli akamwambia Daudi, Tazama, binti yangu mkubwa, Merabu, huyu nitakupa wewe ili umwoe; ila na wewe uniwie hodari wa vita, na kuvipiga vita vya BWANA. Maana Sauli alisema moyoni mwake, Mkono wangu usiwe juu yake, bali mkono wa Wafilisti na uwe juu yake.


Naye Sauli akasema moyoni, Mimi nitamwoza huyu, awe mtego kwake, tena kwamba mkono wa Wafilisti uwe juu yake. Basi Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, Leo utakuwa mkwe wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo