Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:17 - Swahili Revised Union Version

Mtu apitaye na kujisumbua kwa ugomvi usio wake; Ni kama mtu ashikaye mbwa kwa masikio yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ajiingizaye katika ugomvi usiomhusu, ni kama mtu amshikaye masikio mbwa anayepita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ajiingizaye katika ugomvi usiomhusu, ni kama mtu amshikaye masikio mbwa anayepita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ajiingizaye katika ugomvi usiomhusu, ni kama mtu amshikaye masikio mbwa anayepita.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama yeye amkamataye mbwa kwa masikio, ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza kwenye ugomvi usiomhusu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama yeye amkamataye mbwa kwa masikio, ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza kwenye ugomvi usiomhusu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu apitaye na kujisumbua kwa ugomvi usio wake; Ni kama mtu ashikaye mbwa kwa masikio yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.


Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;


Usishindane na mtu bila sababu, Ikiwa hakukudhuru kwa lolote.


Akamwambia, Mtu wewe, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au mgawanyi juu yenu?