Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Afanyalo mtu mwovu ni kuasi tu; mjumbe mkatili atatumwa dhidi yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Afanyalo mtu mwovu ni kuasi tu; mjumbe mkatili atatumwa dhidi yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Afanyalo mtu mwovu ni kuasi tu; mjumbe mkatili atatumwa dhidi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mwovu hupenda kuasi tu; mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mtu mbaya hupenda kuasi tu; mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.

Tazama sura Nakili




Methali 17:11
15 Marejeleo ya Msalaba  

Absalomu alipokuwa akitoa dhabihu alituma Ahithofeli Mgiloni, Mshauri wake Daudi, aitwe kutoka mji wake, yaani, Gilo. Njama zao zikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu walizidi kuongezeka.


Kisha vijana kumi, waliomchukulia Yoabu silaha zake wakamzunguka, wakampiga Absalomu, na kumwua.


Basi Ahimaasi, mwana wa Sadoki, akasema, Niende mbio sasa, nikampelekee mfalme habari, jinsi BWANA alivyomlipiza kisasi juu ya adui zake.


Basi ilitukia ya kwamba kulikuwapo mtu asiyefaa, jina lake akiitwa Sheba, mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga tarumbeta, akasema, Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese; nendeni kila mtu hemani kwake, enyi Israeli.


Ndipo yule mwanamke akawaendea watu wote katika hekima yake. Nao wakamkata kichwa Sheba, mwana wa Bikri, wakamtupia Yoabu huko nje. Ndipo akapiga tarumbeta, nao wakatawanyika kutoka mjini kila mtu hemani kwake. Naye Yoabu akarudi mpaka Yerusalemu kwa mfalme.


Mfalme akamwambia, Fanya alivyonena, umpige, ukamzike; ili uniondolee mimi na nyumba ya babangu damu aliyoimwaga Yoabu bure.


Basi mfalme akamwamuru Benaya, mwana wa Yehoyada; naye akatoka, akampiga, hata akafa. Nao ufalme ukawa imara mkononi mwa Sulemani.


Lawama hupenya moyoni mwa mwenye ufahamu, Kuliko mapigo mia moyoni mwa mpumbavu.


Afadhali mtu akutwe na dubu jike aliyenyang'anywa watoto wake, Kuliko na mpumbavu katika upumbavu wake.


Mwanangu, mche BWANA, na mfalme; Wala usishirikiane na wenye kigeugeu;


Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya; na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.


Basi yule mfalme akaghadhibika; akatuma majeshi yake, akawaangamiza wauaji wale, akauteketeza mji wao.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo