Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:20 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana mwovu hatakuwa na mema baadaye; taa ya uhai wake itazimwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana mwovu hatakuwa na mema baadaye; taa ya uhai wake itazimwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana mwovu hatakuwa na mema baadaye; taa ya uhai wake itazimwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana mpotovu hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Asiutumainie ubatili, na kujidanganya; Kwa kuwa huo ubatili ndio utakaokuwa ujira wake.


Je! Ni mara ngapi taa yao waovu huzimwa? Na msiba wao kuwajia? Na Mungu kuwagawanyia uchungu kwa hasira yake?


Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao.


Maana kama majani watakatika mara, Kama miche mibichi watanyauka.


Wadhalimu wataenda kuzimu, Naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.


Nuru ya mwenye haki yang'aa sana; Bali taa ya mtu mbaya itazimika.


Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.


Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu.


Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.


Maana bila shaka iko thawabu; Na tumaini lako halitabatilika.


Ole wake mtu mbaya; shari itakuwa kwake, kwa maana atapewa malipo ya mikono yake.


Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara, Tupeni mafuta yenu kidogo; maana taa zetu zinazimika.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.