Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:4 - Swahili Revised Union Version

4 Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Macho ya kiburi na moyo wa majivuno huonesha wazi dhambi ya waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Macho ya kiburi na moyo wa majivuno huonesha wazi dhambi ya waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Macho ya kiburi na moyo wa majivuno huonesha wazi dhambi ya waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Macho ya kudharau na moyo wa kiburi, ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Macho ya kudharau na moyo wa kiburi, ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.

Tazama sura Nakili




Methali 21:4
20 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, mwanga wa waovu utazimika, Wala muali wa moto wake hautang'aa.


Mwanga hemani mwake utakuwa giza, Nayo taa iliyo juu yake itazimwa.


Mdhalimu kwa kiburi cha uso wake Asema, Mungu Hatapatiliza. Mawazo yake yote ni, Hakuna Mungu;


Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.


BWANA, moyo wangu hauna kiburi, Wala macho yangu hayainuki. Wala sijishughulishi na mambo makuu, Wala mambo yanayozidi nguvu zangu.


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yameinuka kama nini! Na kope zao zimeinuka sana.


Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.


Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Basi, itakuwa, Bwana atakapokuwa ameitimiza kazi yake yote juu ya mlima Sayuni na juu ya Yerusalemu, nitamwadhibu matunda ya kiburi cha moyo wake mfalme wa Ashuru, na majivuno ya macho yake.


Macho ya mwanadamu yaliyoinuka yatashushwa chini, na kiburi cha mwanadamu kitainamishwa, naye BWANA, yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo.


Na majivuno ya mwanadamu yatainamishwa, na kiburi cha watu kitashushwa; naye BWANA, yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo.


BWANA akasema tena, Kwa sababu binti za Sayuni wana kiburi, na kuenda na shingo zilizonyoshwa, na macho ya kutamani, wakienda kwa hatua za madaha, na kuliza njuga kwa miguu yao;


Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote unao mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao una giza.


Nawaambia, huyu alishuka kwenda nyumbani kwake amehesabiwa haki kuliko yule; kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.


Lakini aliye na mashaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo